Monday, February 11, 2013

Vyama vya Siasa vyenye sauti Tanzania

CCM na CHADEMA ni vyama vyenye sauti kubwa na mvuto nchini Tanzania.Lolote au chochote wakifanyacho hupewa nafasi kubwa na vyombo vya habari. Jana CHADEMA walikuwa jijini Dar pale TEMEKE mwisho wakati CCM wao wako DODOMA ni katika harakati za kuchukua DOLA!

No comments: