Friday, February 1, 2013

Gari yahitaji kukaguliwa

Baadhi yetu wanamiliki na kuendesha magari lakini ni wangapi wanapata muda wa kukagua magari yao ili kuhakikisha kuwa ni salama? Mara nyingi ajali nyingi hutokea kwa kuwa magari ya hitilafu fulani. Ni vyema kukagua, tairi,mafuta, oil, maji, na betri kabla ya kuanza kuendesha gari.

No comments: