Thursday, February 7, 2013

Limetoka bandarini

Malori haya yametoka bandarini yakiwa yamebeba shehena ya bidhaa zinazosafirishwa kwenda nchi za nje. Bandari yetu ikitumika vizuri na kufanya kazi kwa tija itaongeza pato la Taifa na kuinua uchumi wa nchi.

No comments: