Thursday, February 7, 2013

Bahari yetu ya Hindi

Tanzania tumebahatika kuwa na bahari ya Hindi (Indian Ocean). Bahari hii hutumika kusafirisha abiria pia bidhaa ndani na nje ya nchi.Bahari ni makazi ya viumbe wa majini kama vile samaki ambao hutupatia kitoweo pamoja na kuingiza kipato. Bahari ni kivutio cha watalii. Maji ya bahari hutumika pia kutengeneza chumvi. Faida tuzipatazo kutokana na bahari ni nyingi hizi ni baadhi tu.

No comments: