Friday, February 1, 2013

Dar kweupe

Kuna mitaa katika jiji la Dar Es Salaam, Tanzania haina msongamano wa watu hasa siku za mapumziko kama Banzi alivyoukuta mtaa huu maeneo ya posta tofauti kabisa na hali ilivyo kwenye mtaa wa Kongo pale Kariakoo.

No comments: