Monday, February 11, 2013

Nigeria Bingwa 2013

Bingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika 2013 ni Nigeria. Imetwaa ubingwa baada ya kuilaza Burkinafaso bao 1-0 lililofungwa na mchezaji Sunday Mba katika kipindi cha Kwanza. Kocha mzawa Stephen Keshi aliyewahi kuichezea Super Eagles mwaka 1994 na kutwaa ubingwa wa Afrika ndiye aliyeiongoza Nigeria katika michuano hiyo.

No comments: