Sunday, April 21, 2013

Bango la Kanisa Katoliki Mt.Paulo wa Msalaba-Dodoma

Nje ya Kanisa la Mt.Paulo wa Msalaba kuna Bango linaloonyesha Siku za Ibada na muda wa Ibada.Hakika ni mfano wa kuigwa. Nje ya Kanisa VIWAWA wanaouza nakala za masomo ya misa, picha,hata vitenge kwa lengo la kutunisha mfuko wa chama.

No comments: