Tuesday, April 30, 2013

Hospitali ya Muhimbili-Watoto

Watoto wanapendwa na tunawajali pia. Hili ndilo jengo jipya la wodi ya watoto hospitali ya Muhimbili. Jengo hili kwa kweli ni safi. Ndani ya jengo kuna facilities mbalimbali kama vile vyumba vya kucheza, kula n.k.

No comments: