Tuesday, April 30, 2013

Tunahesabu kura hadharani

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Walei Parokia ya Vikindu Bw. Faustini Onyango (mwenye shati jeusi) pamoja na msimamizi wa uchaguzi kutoka Parokia ya Mbagala wakihesabu kura hadharni wakati wa uchaguzi wa viongozi wa Parokia ya Vikindu uliofanyika hivi karibuni.

No comments: