Monday, April 22, 2013

Kikwete na utafiti katika kilimo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiangalia kwa makini mimea inayozalishwa kwa njia ya 'tissue culture' katika maabara ya Uhandisi Jeni iliyoko katika kituo cha Utafiti Mikocheni- Dar Es Salaam.

No comments: