Sunday, April 21, 2013

Msikiti wa Dodoma

Huenda ukawa Msikiti Mkubwa nchini Tanzania. Msikiti huu upo mjini Dodoma karibu kabisa na Sekondari ya Dodoma Central. Nimefahamishwa kuwa msikiti huu umejengwa kwa hisani ya aliyekuwa Rais wa Libya Muamar Gaddafi.

No comments: