Tuesday, April 30, 2013

Mr & Mrs Mangengesa Mdimi-Miaka 40 iliyopita

Bw. na Bibi Mangengesa Mdimi siku ya kufunga ndoa kwenye kanisa Katoliki Mt.Paul - Matombo Morogoro. Miaka 40 imeshapita tangu kutokea kwa tukio hilo. Kweli miaka imepita wakati huo picha za rangi hazikuwepo, hakukuwepo na video pia! Lakini mambo yalikuwa mazuri sana na tabasamu mdomoni.Hivi sasa wana watoto na wajukuu.Tarehe 21/04/2013 Mama Dolorose Mdimi ametimiza miaka 60 tangu azaliwe. Mzee Mangengesa Mdimi ni Mwandishi Habari veteran.Hongera sana baba na Mama. Mungu awajalie maisha marefu.


No comments: