Tuesday, April 30, 2013

Mmea unaotegemea majani kama mizizi

Unaweza kuuona mmea huu ukibahatika kutembelea kituo cha Utafiti wa Kilimo Kibaha kilichopo mkoa wa Pwani. Mmea huu una physical features za kushangaza. Kile kinachoonekana kama majani kimejichimbia ardhini kama mizizi. Ni mmea wa ajabu na aina yake.

No comments: