Friday, December 5, 2008

Dereva Taxi wa aina hii ni wachache

Si rahisi ukasahau kitu kwenye Taxi na hatimaye akakipata. Lakini wako madereva taxi wanaoheshimu kazi zao na wanaopedna kulinda soko.

Dereva Taxi aliyanipeleka Jomo Kenyatta International Airport hivi karibuni ni muungwana kwani baada ya kushusha mkoba wangu kumbe nilidondosha "highlighter" (kalamu kubwa ya rangi ya kuweka msisitizo) ndani ya gari. Alipoiona alisimamisha gari na kunipatia kalamu hiyo. Dereva wa aina yake ni wa chache. Nakushukuru na umependisha chati madereva Taxi wa Kenya ingawa si wote. Asante sana.

No comments: