Wednesday, December 17, 2008

Karibu nyumbani Dr.Doreen


Ndivyo ilivyokuwa wakati Dr.Doreen alipokaribishwa nyumbani kwao Kimara Temboni na mumewe Dr.Mainen Moshi.

Mama yake Paulina Mloka, kaka yake Freddy Mloka, Bibi yake Sister Maria Makeya, watoto wake, ndugu, marafiki, jamaa na wageni waalikwa walikuwepo katika tafrija nzito ya kumpongeza. Pichani Dr.Doreen akiongozwa kwa mbwembwe za kiluguru avho! na MC Inno Banzi huku akisindikizwa na dada yake Helena Mimata.

No comments: