Wednesday, December 17, 2008

Dr.Doreen Mloka Moshi-PhD "mukichwa"


Siku ya tarehe 13/12/2008 Jumamosi itakuwa siku ya kumbukumbu kubwa kwa Doreen, familia yake, ndugu na majamaa wakati alipotunukiwa shahada ya Uzamivu (PhD) katika tiba. Pichani kushoto Dr. Doreen ndani ya joho la Chuo Kikuu cha Sayansi ya Tiba Muhimbili (MUCHS) katika hisia kali. Kulia ni Professor Nuhunoli (naomba nisahihishwe jina sahihi) aliyetunukiwa shahada ya Udaktari wa Sayansi. Kutokana na maelezo niliyoyapata kutoka kwa wasomi, hii ni tuzo ya juu kabisa.

No comments: