Friday, December 5, 2008

Mfumuko wa bei ni aslimia milioni 230- Siamini!

Hivi kweli mfumuko wa bei Zimbabwe ni asilimia milioni 230! Mbona siamini, nashindwa kupata picha. Mimi ni mchumi, hiyo asilimia milioni 230 nashindwa kuipresent kwa kweli. Hivi Wazimbabwe wanaishije huko? Kuna tatizo na si dogo. Tuwasaidie ndugu zetu Wazimbabwe.

No comments: