Friday, December 5, 2008

"Utaratibu tuliojiwekea" maana yake nini?

Siku hizi mambo yanapokiukwa utasikia kwa "utaratibu tuliojiwekea."
Kama kanuni, sheria na taratibu zipo kwanini tuwe na kitu mbadala- "Utaratibu tuliojiwekea" hapa ndipo tunapoanza kuharibu mambo. Na ndipo haki inapopindwa.

No comments: