Friday, December 5, 2008

Shibuda atagombeaje urais katika mlango mmoja ?

Conges Mramba katika makala yake kwenye gazeti la Rai (Mraba wa Mramba) tarehe 4-10 Desemba amekuja na kichwa cha habari CCM: Damu ya kijani au geresha? Ndani ya makala hiyo ameandika mambo mengi ya kutafakari kuhusu CCM na mambo yanavyokwenda kwenye chama hicho tawala.

Binafsi nimefurahishwa na hili. Nanukuu- " Shibuda atagombeaje urais katika mlango mmoja unaoandaliwa kwa rais aliyepo madarakani? Tafakari.

No comments: