Tuesday, December 31, 2013

Dada Batsheba Sajan

Tarehe 26/12/2013 tulialikwa na dada Janet Mluge nyumbani kwao Mbezi Beach-Dar. Hapa nilikutana na ndugu zangu wengi pamoja na watoto zao ambao wengi wao walikuwa ni akina uncle! Mbele ya picha hii anaonekana dada Batsheba Sajan a.k.a Sheba! Alikuwa siku moja nzuri ya kukumbukwa kwa mwaka 2013. Asante Dada Janeth pamoja na shemeji yetu Tom kwa wazo zuri na kulitekeleza pia. Asante aunt Rest kwa kutukaribisha.

No comments: