Tuesday, December 31, 2013

Mambo ya kukumbukwa 2013-MTANI JEMBE

Baada yaYanga kufungwa mabao 3-1 kwenye mechi ya MTANI JEMBE. Shabiki huyu wa Yanga  (aliyekaaa katikati na kushika chupa ya safari) alipozwa munkari na mashabiki wa Simba wa Kisemvule

No comments: