Tuesday, December 31, 2013

Huyu alizawadiwa jezi nyekundu ya ZAMALEK!

Shabiki huyu wa Yanga wa Kisemvule alizawadiwa jezi  nyekundu ya Zamalek na shabiki wa Simba baada ya mchezo wa Mtani Jembe kumalizika na Yanga kufungwa 3-1

No comments: