Friday, March 13, 2015

Azam - Tazara

Ni asubuhi, barabara ya Mandela jijini Dar. Kwa mbali nayaona majengo ya Azam, zamani National Milling Coorporation. Imenikumbusha mbali wakati huo serikali ilipokuwa inamiliki shirika hilo la umma la usagishaji na usindikaji wa nafaka. Hapo ndipo ilipokuwa ikisindikiwa mikate mizuri tuliyokuwa tukiikimbilia kila inapoonekana na kupanga foleni.

No comments: