Friday, March 13, 2015

Makeke ya uncle 'Junior'- The Davido

Leo asubuhi nimebahatika kumkuta uncle Junior nyumbani kwao Buguruni -Maghorofani akijiandaa kwenda shule . Makeke yake yalikuwa kama unavyoona pichani.
Alinionesha gari lake
Na hii ndiyo sare ya michezo shuleni kwako St Joseph Kindergarten

Alinionesha vidole vitatu sikufahamu maana yake

Umahiri wa kudaka mpira je? Huenda atakuwa goalkeeper wa Taifa Stars

Hakika mapenzi yake kwa football ni dhahiri na inawezekana anaipenda Barcelona!

Uliwadia wakati wa kwenda shule

Na hapa ndipo nilipomuelewa kuwa ni peace - Huenda ni CHADEMA!

Alinionyesha bag la shule lenye rangi ya njano! Kumechisha nini?

Inapotakiwa kwenda shule ni makeke mengi tu
Toys kibao kwa raha zake
Angekuwa na gari yake nadhani uncle Junior angeendesha kwenda shule!

No comments: