Friday, March 13, 2015

TAZARA Sokoni-Mahakama ya ndizi

Ukitokea kituo cha mabas cha TAZARA kama unaelekea Temeke, jijini Dar kituo kinachofuata kinaitwa SOKONI. Soko hili ni maarufu kwa biashara ya ndizi mbivu wengine mahali hapa hupaita 'mahakama ya ndizi.' Kituo hiki kiko karibu na Makao makuu ya TAZARA na Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika. Leo asubuhi nimebahatika kununua ndizi moja nzuri kwa bei ya shilingi 150/= unajua nilinunua ngapi? Kumi na mbili (12).

No comments: