Wednesday, March 11, 2015

Hawa waling'ara tarehe 8/3/2015

Kutoka kushoto Ajibu, Okwi na Ndemla. Wachezaji hawa wasimba waling'ara siku ya mechi ya Simba na Yanga tarehe 8/3/2015 ambapo Simba iliibuka na ushindi wa goli 1-0 lililofungwa na Emmanuel Okwi. Kwa ushindi huo Simba sasa iko nafasi ya tatu kwenye msimamo wa ligi 2015 wakiwa na pointi 26 huku Young Africans ikiongoza kwa point 31.

No comments: