Wednesday, June 3, 2009

Anapelemba na Kutathmini


Kiongozi wa Timu ya Kupelemba na Kutathmini shughuli za Utafiti Kanda ya Kati mwaka 2009. Dkt. Ally Mbwana akiwa pamoja na wakulima/wafugaji wa kijiji cha Chamkoroma Wilayani Mpwapwa-Dodoma akiwahoji wanakikundi wa uboreshaji wa wa kuku wa asili mwezi Mei 2009.

No comments: