Monday, June 8, 2009

Vijana wanatengeneza Tanzania katika Soka

Jana tulipata taarifa kuwa Timu yetu ya Taifa ya Vijana chini ya miaka 17 wanaotetea ubingwa wa DUNIA wameanza vyema kutetea taji lao la ubingwa wa duniani mashindano ya Copa Cocacola kwa kuwachabanga vijana wa Ethiopia magoli 5 -0. Kwa vyovyote vile ni ushindi wa kujivunia. Wako wapi waandishi wa habari? Sio coverage kubwa ya michuano hii. Tusidharau vijana wanaanza kutengeneza jina la Tanzania katika Soka.

No comments: