Tuesday, June 9, 2009

Mkulima anapotambua magonjwa ya mimea


Magonjwa ya mimea ni moja ya matatizo yanayoathiri uzalishaji wa mazao shambani. Mara nyingi mazao yanaposhambuliwa na magonjwa uzalishaji hupungua kwa kiasi kikubwa. Moja ya zao ambalo hushambuliwa na magonjwa kirahisi ni zao la nyanya. Pichani Mkulima Maulid Pembe wa Kisemvule akiionyesha blog hii mmea wa nyanya ulioshambuliwa na ugonjwa.

No comments: