Wednesday, June 3, 2009

Wanatafuta 'vogellii'


Liko wapi! Ndivyo wanavyoulizana wapelembaji na watathmini wa utafiti waliutumwa kanda ya Kati mwaka 2009 wakilitafuta gugu hatari linalojulikana kwa jina la 'vogellii' katika shamba la majaribio Hombolo-Dodoma.

No comments: