Tuesday, June 23, 2009

Je, t-shirts na caps ndo ubora?

Imekuwa mtindo kwa siku hizi kila linapotokea tamasha au maadhimisho ya aina fulani basi sare za T-shirts na Kep kapa (caps) ndizo zinazotawala. Watu hupigania kupata sare hizo hata kama si mshiriki. Yuko tayari kupata hata sare tano kwa lolote lile. Hivi ni muhimu kuwa na sare katika maadhimisho? Je, sare ni T-shirts na kep kapa tu?

No comments: