Tuesday, June 23, 2009

Tuwe na mipango madhubuti ya power tillers tutakazonunua

Hivi sasa viongozi wanaimba KILIMO KWANZA. Kila Halmashauri inunue powertillers za kutosha. Je, mipango imewekwa ya kutumia powertillers hizo. Je, ni kweli mapinduzi ya kijani yataletwa na powertillers. Tusije kubweteka na power tillers. Mapinduzi ya kijani yataletwa na factors nyingi zinazohusiana katika kuboresha uzalishaji wa kilimo hapa nchini. Viongozi wa Halmashauri wawe makini katika kutoa maamuzi katika suala hili.

No comments: