Wednesday, June 3, 2009

Mtama kutoa nishati


Watafiti wa Kituo cha Utafiti Hombolo wakishirikiana na Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti wa Kanda Kame (ICRISAT) wanaendelea na utafiti wa aina ya mtama utakaoweza kutoa nishati ya kuendeshea mitambo. Utafiti huo unaendelea vizuri katika vijashamba vya majaribio kituoni Hombolo. Pichani aina ya mtama yenye kutoa mabua yaliyo na sukari katika majaribio.

No comments: