Tuesday, June 2, 2009

Watafiti na alizeti


Watafiti wa Kilimo kanda ya kati wanafanya kila njia kuboresha uzalishaji wa zao la alizeti ili liweze kumuongezea mkulima wa mikoa ya kati (Singida na Dodoma) pato lake kiuchumi. Tatizo ni soko la alizeti halina uhakika. Pichani Mtafiti Mkuu wa Kituo cha Utafiti wa Kilimo Hombolo -Dodoma, Elias Letayo akiangalia kichwa cha alizeti.

1 comment:

Shambani said...

hongera kaka kwa taarifa zako za kitafiti