Monday, June 8, 2009

Saranda imechongwa


Ule mlima uliokuwa ukiwasumbua madereva wanaolekea Singida wakitokea Dodoma unaojulikana kwa jina la Saranda sasa umechongwa na kuwekwa lami. Kwa wale waliosafiri zamani mlima huo ulileta ajali nyingi na kwalaza wasafiri wengi. Lakini sasa mambo safi. Blog hii ilipanda mlima huo kwa kutereza mwishoni mwa mwezi wa tano. Angalia pichani jinsi Saranda ilivyochongwa. Ama kweli Tanzania imepania kuboresha miundo mbinu yake ikiwemo barabara kuu.

No comments: