Wednesday, June 3, 2009

Maabara ya Utafiti-Ukiriguru


Maabara za kisasa ni moja ya miundo mbinu inayohitajika kwa ajili ya Utafiti wa Kilimo. Maabara ni lazima ziwe na vifaa vya kutosha vya kufanyia uchunguzi pamoja na wataalamu waliopata mafunzo ya kutosha kwa ajili ya shughuli hizo. Kwa kufanya hivyo shughuli za utafiti wa kilimo zinaweza kuimarika hapa nchini. Pichani moja ya maabara za utafiti zilizopo kituoni Ukiriguru, Mwanza.

No comments: