Tuesday, June 2, 2009

Kuku Kishingo


Watafiti wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Mifugo Mpwapwa wanaendelea kuboresha kuku wa kienyeji ili waweze kutoa mayai mengi, kukua kwa haraka pamoja na kuwa na uzito wa kutosha. Pichani jogoo kishingo akiwa kwenye banda.

No comments: