
Ikiwa zimebakia takribani siku 77 kabla ya fainali za kombe la soka la dunia 2010 kupigwa katika ardhi ya Afrika huko Afrika ya kusini. Unalifahamu jina la mprira utakaotumika katika fainali hizo? Unaitwa "JABULANI.' unaoonekana pichani.










Hivi unywaji wa pombe unachangia kusambaa kwa kasi kwa ugonjwa wa UKIMWI. Huko Iringa wanasemaje? "Msimu wa Ulanz\i huwa unauzwa bei rahisi ambayo hakuna inayemsinda ndo maana watu wengi hulewa hivyo kuwa rahisi kwao kufanya ngono bila kujiandaa kwani wanawake wengi wakishanunuliwa kinywaji hicho huwa wapesi kukubali," anasema Richard Mwenda. (Nukuu na picha kutoka gazeti la Mwananchi la 15/01/2010)



