Sunday, March 14, 2010

Tutafurika hivi uwanja wa UHURU?


Taifa Queens wametutoa kimasomaso Watanzania kwa kuibugiza timu ya soka ya wanawake ya Ethiopia mabao 3-1 nyumbani kwao. Lakini Waethiopia walionyesha uzalendo wa hali ya juu. Uwanja ulifurika kuwapa nguvu wanawake hao. Sisi je? Banzi wa Moro anaahidi kuingia uwanjani siku ya mechi ya marudiano. Tuombe Mungu.

No comments: