Wednesday, March 3, 2010

Pombe na UKIMWI

Hivi unywaji wa pombe unachangia kusambaa kwa kasi kwa ugonjwa wa UKIMWI. Huko Iringa wanasemaje? "Msimu wa Ulanz\i huwa unauzwa bei rahisi ambayo hakuna inayemsinda ndo maana watu wengi hulewa hivyo kuwa rahisi kwao kufanya ngono bila kujiandaa kwani wanawake wengi wakishanunuliwa kinywaji hicho huwa wapesi kukubali," anasema Richard Mwenda. (Nukuu na picha kutoka gazeti la Mwananchi la 15/01/2010)

No comments: