Tuesday, March 23, 2010

Mifereji iko wapi hapa?


Hii ndiyo barabara ya Kilwa sehemu ya Mbagala inayojulikana kama Kipati. Mifererji haijakamilika kwahiyo mvua zinazoendelea kunyesha zinaharibu barabara hiyo iliyojengwa hivi karibuni. Kwa nini hatuwi makini katika utekelezaji wa mambo yetu. TAFAKARI (Picha kwa hisani ya gazeti la Mwananchi la tarehe 23/3/20100

No comments: