Wednesday, March 3, 2010

Miundo mbinu ya Jiji la Dar Es Salaam hoi!


Angalia pichani jinsi wananchi wanavyoteseka kutokana na miundombinu mibovu iliyoko Jijini Dar Es Salaam. Leo katika gazeti la Mwananchi nimeinyaka picha hii ikionyesha mkazi wa Rieta eneo la Makoka Mwisho jijini Dar Es Salaam akimvusha msichana wa shule katika daraja lililobomolewa kutokana na mafuriko ya mvua zilizonyesha hivi karibuni.

No comments: