Wednesday, March 3, 2010

TAIFA STARS UBISHOO!


Wafadhili wa nguvu wamejitokeza kuihudumia Taifa Stars ( NMB, Serengeti Breweries). Kocha wa kimataifa Maximo wanaye. Wapenzi wapo wanaishangilia kwa nguvu inapocheza. Mshiko mwanangu wa uhakika.Hebu angalia pichani wachaezaji wa Taifa Stars wakifanya mazoezi wakiwa na pamba za Serengeti wanapendeza eti! Tatizo inapokwa kwenye mashindano upuuzi mtupu. Tatizo ni ubishoo na kujifanya wamefika. Hebu mwangalie huyu mchezaji wa mbele tayari ameshafuga nywele kama Valderama!

No comments: