Tuesday, March 23, 2010

Si ushamba anawajibika


Kwa makabila mengi ya Tanzania ni nadra sana kumuona mwanaume akimbeba mtoto. Kazi ya kubeba mtoto jamii inaiona kama ni kazi ya mwanamke. Lakini hebu tujiulize, yule mtoto ni wa mwanamke tu? Kuna ubaya gani kushirikiana katika kulea watoto wetu. Huo si ushamba kama wengine wanavyouona. Hebu angalia kwenye picha jamaa kambeba mwanae hana wasiwasi anakatisha mitaa.

No comments: