Saturday, March 20, 2010

Simba yaibanjua Lengthens ya Zimbabwe 3-0


Hongera SSC!
Habari nilizozipata kutoka mtandaoni zinaeleza kuwa Simba Sports Club ya Tanzania imeibanjua Club ya Lengthens ya Zimbabwe mabao 3-0 katika mashindano ya Confederation Cup. Mabao hayo yamefungwa na Mohamed Banka, Musa Hassan Mgosi na Mohamed Kijuso.

No comments: