Thursday, March 25, 2010

Gozi litakalotumika Afrika ya Kusini ni 'JABULANI'


Ikiwa zimebakia takribani siku 77 kabla ya fainali za kombe la soka la dunia 2010 kupigwa katika ardhi ya Afrika huko Afrika ya kusini. Unalifahamu jina la mprira utakaotumika katika fainali hizo? Unaitwa "JABULANI.' unaoonekana pichani.

No comments: