Sunday, March 14, 2010

Miundo mbinu yetu choka mbaya


Lori limekwama! Mvua za masika zimeanza kunyesha kwa wingi nchini kote. Kwa vyovyote vile zimewahi sana, pengine ni kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa. Barabara zetu huathirika sana wakati mvua zinaponyesha. Hii husababisha hata bidhaa kuadimika na kuuzwa kwa bei ya juu katika sehemu nyingi. Anayeathirika zaidi na mwananchi wa kijijini. Tutafakari.

No comments: