Thursday, March 25, 2010

Fainali ya kwanza ya Kombe la dunia 1930


Mpira uliotumiwa kwa mashindano ya kwanza ya kombe la dunia mwaka 1930 ulijulikana kwa jina la tiento. Fainali zilifanyika nchini Uruguay. Wakati huo ilikuwa ni muhimu kubeba pump. Bin gwa wa fainali hizi ilikuwa ni nchi ya Uruguay. Mipira miwili ilitumika ya nchi tofauti. Nusu ya kwanza ulitumiwa wa Argentina matokeo ya nusu ya kwanza Argentina ilikuwa ikiongoza kwa bao 2-1 baada ya mapumziko mpira wa Uruguay ulitumika na kuibuka na ushindi wa mabao 4-1. Mimi nilicheza huo mpira wa rangi ya chungwa!

No comments: