Sunday, March 14, 2010

Soko Kuu la Morogoro


Nilishawahi kuandika kwenye blog hii kuwa soko la Morogoro ni chafu hasa wakati mvua zinanyesha. Huwezi kuamini kuwa soko hilo ndilo tegemeo kwa wakazi wa Morogoro kwa aina mbalimbali za vyakula. Iwapo viongozi husika wameshaanza kulifanyia kazi tatizo hilo basi ni vizuri. Lakini kama mambo yenyewe ni kama inavyoonekana pichani kazi bado ipo. Picha kwa hisani ya gazeti la Mwananchi la tarehe 13/3/2010.

No comments: