Thursday, October 31, 2013

Joe naye alimvisha pete mkewe

Bw. Joe Mutahangarwa akimvisha mkewe Daphrosa Nangeda pete ya ndoa alama ya uaminifu na kitu kimoja sasa anakuwa Mrs. Mutahangarwa! Tukio lililofanyika katika Kanisa la Mt. Vinsenti wa Paulo-Vikindu, Jimbo Kuu la Dar Es Salaam. Tarehe 26/10/2013

No comments: